Monday, 17 October 2016

GLOBAL PEACE FOUNDATION KWA KUSHIRIKIANA NA TYDC WAFANYA JUKWAA LA VIJANA


GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA WATOA ELIMU JUU Y...: Kila Baada ya Mwezi kikundi cha Tandale Youth Development Centre hufanya Jukwaa la Vijana ambapo vijana hukutana na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu vijana hususani changamoto zinazowazunguka.

 washriki katika picha ya pamoja.

 country director wa Global Peace Foundation Tanzania Miss Martha Nghambi akifutilizia jukwaa.

 davie george (muogoza mjadala) akiongea jambo

Steve zero kutoka UNA Tanzania akichangia jambo wakati wa jukwaa